Header Ads

KILA MCHEZAJI WA ZAMBIA AZAWADIWA DOLA ZA MAREKANI 59,000

MABINGWA WA AFRIKA ZAMBIA WALIVYOLAKIWA











Mabingwa wapya wa soka wa Afrika, Chipolopolo wa Zambia wamepokelewa kwa shangwe katika mji mkuu Lusaka.
Mwandishi wa BBC anasema mashabiki waliokuwa wakisubiri, walilipuka kwa kelele za shangwe, wakati nahodha Christopher Katongo alipotoka kwenye ndege akiwa amelibeba Kombe la dhahabu la Mataifa ya Afrika.

No comments:

Powered by Blogger.