Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Kikwete akiwa meza kuu na Rais wa
Zanzibar Dkt Mohamed Ali Shein, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Visiwani) na
Rais Mstaafu wa Zanzibar Dkt Amani Abeid Karume, Rais Mstaafu wa awamu
ya Pili Alhaj Ali Hassan Mwinyi, Makamu Mwenyekiti wa CCM (Bara) Mh
Pius Msekwa na Katibu Mkuu wa CCM Mh Wilson Mkama kabla ya kuanza kwa
mkutano wa Halmashauri Kuu leo katika jengo la White House la Makao
Makuu ya chama hicho mjini Dodoma leo February 12, 2012
No comments:
Post a Comment