Header Ads

Studio ya Tuff Records iliyopo mjini Morogoro, katika kushehelekea Miaka 50 ya Uhuru wa Tanzania, imewakutanisha wasanii chipukizi wa muziki wa Kizazi kipya 'Bongo Flava' katika tasnia ya muziki na kurekodi wimbo wa pamoja uitwao Tunaweza Miaka 50, ikiwa ni sehemu ya kuadhimisha sherehe hizo na kuonyesha umoja wa wasanii hao wa mkoani Morogoro.Wimbo huu ni kwajili ya watu wote wenye upendo na inchi hii. Ni kwa ushilikiano na blog ya CHUMA (BFL) http://bongoflavalink.blogspot.com

No comments:

Powered by Blogger.