Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Lazaro Nyalandu Atembelea Studio Za
Clouds Fm

Naibu
Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Lazaro Nyalandu akifafanua jambo juu
ya magendo ya sukari na mfumuko wa bei nchini ndani ya studio za Clouds
Fm katika kipindi cha Power Breakfast hii leo asubuhi.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Lazaro
Nyalandu akiagana na mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast cha
Clouds Fm Gerald Hando mara baada ya kumaliza mahojiano juu ya hali ya
sukari nchini na mfumuko wa bei mapema laeo asubuhi.


Meneja
wa Vipindi wa Clouds Fm Sebastian Maganga kushoto akimfafanulia jambo
Naibu wa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Lazaro Nyalandu
alipotombelea studio za Clouds Fm na Clouds TV asubuhi ya leo. Kulia kwa
Mh. Nyalandu ni mwandaaji vipindi Bw. Simon Simalenga, na mwenye tai ni
Mhariri Mkuu Msaidizi wa Habari na Matukio Bw. Lazaro Matalange

Naibu
Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Lazaro Nyalandu akifafanua jambo juu
ya magendo ya sukari na mfumuko wa bei nchini ndani ya studio za Clouds
Fm katika kipindi cha Power Breakfast hii leo asubuhi.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Lazaro
Nyalandu akiagana na mtangazaji wa kipindi cha Power Breakfast cha
Clouds Fm Gerald Hando mara baada ya kumaliza mahojiano juu ya hali ya
sukari nchini na mfumuko wa bei mapema laeo asubuhi.


Meneja
wa Vipindi wa Clouds Fm Sebastian Maganga kushoto akimfafanulia jambo
Naibu wa Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Mh. Lazaro Nyalandu
alipotombelea studio za Clouds Fm na Clouds TV asubuhi ya leo. Kulia kwa
Mh. Nyalandu ni mwandaaji vipindi Bw. Simon Simalenga, na mwenye tai ni
Mhariri Mkuu Msaidizi wa Habari na Matukio Bw. Lazaro Matalange
No comments:
Post a Comment