WALIMU WENGI ZAIDI WANAHITAJIKA: MIZENGO PINDA!
Akijibu maswali ya papo kwa papo Bungeni mjini Dodoma leo Waziri Mkuu MIZENGO PINGA amesema mbali na hilo pia waalimu wanakabiliwa na changamoto ya kuwa na hosteli na nyumba za kutosha kwa ajili ya kuwaweka walimu na wanafunzi katika shule husika.
Waziri Mkuu alikuwa akijibu swali la Mbunge wa Iramba Magharibi Mwigulu Madelu aliyemuuliza kama serikali haioni umuhimu wa kuwakusanya wanafunzi wa tarafa moja kujisomea ndani ya eneo moja ili kukabiliana na upungufu wa walimu unaochangia matokeo mabaya wakati wa mitihani.

No comments:
Post a Comment