SERIKALI-TATIZO LA WATOTO WA MITAANI NI KUBWA!
Naibu Waziri wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto UMMY MUYA amesema tathmini iliyofanywa na serikali mwaka jana kuangalia ukubwa wa tatizo la watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu imebaini kuwa tatizo hilo haliwezi kwisha bila familia kutoa mchango wake.
CHRISTINA LISSU Mbunge Viti Maalumu CHADEMA alimuuliza Naibu Waziri MUYA kama Serikali inafahamu idadi ya watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu na imepanga kuchukua hatua gani ili kuwasaidia.
No comments:
Post a Comment