Header Ads

WADAU WA READING HAWA HAPA..

PICHA ZA WADAU WA READING KATIKA POZI TOFAUTI.


Dello akifanya makamuzi ya kuku wa kuchoma tayari kwa mlo !
Mhe. Naibu Balozi akiwa na wadau wa Reading wakati wa Carnival

Cheki nyomi lilivyokuwa ....

Wadau wa reading wakila pozi ndani ya banda na TA Reading wakiwa na Berry Black ambaye ni msanii wa Bongo Flava kutoka Zanzibar . Kwa mara ya kwanza TA Reading ikishirikiana na TANZ UK waliandaa banda la kitanzania kwa kupika chakula cha Kitanzania na kuuza kwa watu mbalimbali waliojitokeza kutembelea banda la TA ikiwa ni mojawapo ya mradi wa kuchangia mfuko wa TA Reading. Mgeni rasmi alikuwa Mhe. Naibu Balozi wa Tanzania Uingereza Chabaka Kilumanga alieambatana na Afisa wa Ubalozini Amosi Msanjila. Kwa ujumla banda ka kitanzania lilitia fora kuliko mabanda yote mengine ya mataifa mbalimbali.

Mzuka!

No comments:

Powered by Blogger.