Header Ads


                                   
Mama wa mtoto mwenye matatizo ya kutokuwa na sehemu ya kutolea haja kubwa akipokea msaada wa Tshs 600,000/= kutoka kwa Mh Joseph O Mbilinyi Mbunge wa Mbeya mjini ili aweze kumpeleka Hospitali ya Peramiho kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji kwa mujibu wa gharama hiyo ambayo Mama huyo alielezwa ikipatikana ndio ataweza kufanyiwa upasuaji. Mungu atamsaidia atapona!
                                       
Mama wa mtoto mwenye matatizo ya kutokuwa na haja kubwa akitoa maelezo ya mtoto wake mwenye umri wa miaka 2 kwa waandishi wa habari na Mh Mbunge wa Mbeya mjini ambaye aliguswa na tatizo la mtoto huyo na kuamua kumsaidia..

No comments:

Powered by Blogger.