Header Ads

JK ATOA ZAWADI YA PASAKA KWA YATIMA,WAZEE

Kaimu Mnikulu, Alhaji Kassim Mtawa (kulia) akiwakabidhi zawadi ya Sikukuu ya Pasaka, watawa kutoka kituo cha kulelea Watoto Yatima cha Mburahati, Dar es Salaam. Emmanuela M.C na Annie M.C. Digna Nsanya ambaye alimwakilisha Kamishna wa Idara ya Ustawi wa Jamii katika Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii, akishukuru kupokea zawadi ya Pasaka kutoka kwa Kaimu Mnikulu, Alhaji Kassim Mtawa kwa ajili ya vituo vya kuelelea watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu vya Kurasini na Mtoni, Dar es Salaam. Kaimu Mnikulu, Alhaji Kassim Mtawa (kulia) akimkabidhi Mlezi wa Kituo cha kuelelea Watoto Yatima cha Dar al Arqum cha Tandika, Dar es Salaam, Mohamed Said, zawadi ya Pasaka. Zawadi hizo zilizotolewa na Rais Jakaya Kikwete ni, mbuzi 3,mchele kilo 150 na mafuta ya chakula lita 20.Kwa habari zaidi na Kamanda wa matukio...

No comments:

Powered by Blogger.