Header Ads



Rais Kikwete, akikagua gwaride la heshima wakati wa maadhimisho ya miaka 47 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar, leo kwenye Uwanja wa Amaani, Unguja, Zanzibar.

Rais Kikwete (kulia) akizungumza na Rais wa Zanzibar, Dk. Ali Mohamed Shein wakati wa maadhimisho hayo huko kisiwani zanzibari. 

Maalimu Seif pamoja  Viongozi mbalimbali wakiwa wamesimama wakati gwaride la heshima likipita kwa mwendo wa haraka wakati wa maadhimisho hao. (Picha zote na vyanzo vya habari) 

No comments:

Powered by Blogger.