Header Ads

 

FIVESTAR

WANATAARABU FIVE STAR WAPATA AJARI YA KUTISHA

Baadhi ya wasamalia wema waliokuwepo katika eneo latukio baada ya ajali kutokea kwa basi ndogo la wasanii wa Five stars modern Taarab wakichunguza kama kuna masalia ama mtu aliyebanwa katika ajali hiyo iliyo tokea jana usiku Mikumi.
Msanii wa kikundi cha East Africa Melody  Bi Mwanahawa Ally akiwa wodini katika hospitali ya mkoa wa Morogoro leo Baada ya kujeruhiwa katika Ajali hiyo la basi dogo la Five starts modern Taarabu.
Picha zote na habari kwa hisani ya Blogi ya jamii kwa habari zaidi bofya hapa chini. 

No comments:

Powered by Blogger.