Header Ads

WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AMJULIA HALI SPIKA WA BUNGE JO NDUGAI

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (wapili  kulia) wakizungumza na Spika wa Bunge, Job Ndugai (kulia) na kewe Fatma Mganga Ndugai wakati wakati walipokwenda  nyumbani kwa Spika Salasala jijini Dar es salaam  Agosti 19, 2016  kumjulia hali.(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
  Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (wapili kulia) wakiagana na Spika wa Bunge Job Ndugai  (kulia) na mkewe Fatma Mganga Ndugai (wapili kushoto) wakati walipokwenda nyumbani kwa Spika, Salasala jijini   Dar es salaam Agosti 19, 2016 kumjulia hali.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na mkewe Mary (wapili kulia) wakiagana na Spika wa Bunge Job Ndugai  (kulia) na mkewe Fatma Mganga Ndugai (wapili kushoto) wakati walipokwenda nyumbani kwa Spika, Salasala jijini   Dar es salaam Agosti 19, 2016 kumjulia hali. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Powered by Blogger.