RAIS MHE. DKT MAGUFULI APOKEA HATI ZA UTAMBULISHO WA MABALOZI KUTOKA CONGO DRC, NAMIBIA PAMOJA NA KUZUNGUMZA NA MABALOZI MBALIMBALI IKULU JIJINI DAR ES SALAAM.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Balozi wa Uingereza hapa nchini Bi. Dianna Melrose Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiagana na Balozi wa Uingereza hapa nchini Bi. Dianna Melrose Ikulu
jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana Balozi Mteule wa Namibia hapa nchini Bi Theresia Samaria
mara baada ya kupokea Hati ya Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akizungumza na Balozi Mteule wa Namibia hapa nchini Bi Theresia Samaria
mara baada ya kupokea Hati ya Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli
akiagana na Balozi Mteule wa Namibia hapa nchini Bi Theresia Samaria
mara baada ya kupokea Hati ya Utambulisho Ikulu jijini Dar es Salaam.





No comments:
Post a Comment