BENKI YA POSTA TANZANIA YAJENGA VYOO VYENYE THAMANI YA SH. MILIONI 4.7 KATIKA SHULE YA MSINGI MAKAMBI ILIYOPO MANISPAA YA SONGEA MKOANI RUVUMA
Wanafunzi wa shule ya
msingi ya Makambi iliyopo Kata ya Ndilima Litembo Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma wakifurahia vyoo vya
kisasa vilivyojengwa na Benki ya Posta Tanzania.
Meneja Mwandamizi wa
Mahusiano na Mawasiliano wa Benki ya Posta, Noves Moses akiongea kwenye mkutano katika shule hiyo muda mfupi kabla ya kuzindua vyoo hivyo.
Meneja
Mwandamizi wa Mahusiano na Mawasiliano wa Benki ya Posta, Noves Moses
akikata utepe ikiwa ni ishara ya kuzindua vyoo vyenye matundu 14,
vitakavyohudumia wanafunzi 850 katika shule ya Msingi ya Makambi, Songea
Mkoa wa Ruvuma, ujenzi huo umegharimu shilingi milioni 4.7 kulia ni
Meneja wa Oparesheni wa tawi la Songea, Simon Mlelwa.
Meneja
Mwandamizi wa Mahusiano na Mawasiliano wa Benki ya Posta, Noves Moses akiwa
kwenye picha ya pamoja na walimu wa shule hiyo pamoja na baadhi ya viongozi wa
serikali ya mtaa.
|
No comments:
Post a Comment