Header Ads

WAZIRI MAKAME MBARAWA AFANYA ZIARA kitengo cha huduma ya Makontena Bandarini (TICTS)

RA1
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Profesa Makame Mbarawa akipokea taarifa ya Utendaji kutoka kwa Mkurugenzi wa Biashara na Maendeleo wa kitengo cha huduma ya Makontena Bandarini (TICTS) Bw.Donald Talawa mara alipofanya ziara ya kukagua utendaji wa kitengo hicho Jijini Dar es salaam.
RA2
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Mhe.Profesa Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa Viongozi wa Mamlaka ya Bandari (TPA) na TICTS ambapo amehimiza kuhusu hutoaji wa huduma kwa haraka ili kuongeza ukusanyaji wa mapato,Kulia ni Hebel Mhanga na kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA Bwana Aloyce Matei.
RA3
Mtaalamu wa Uratibu wa huduma za upakuaji wa TICTS akitoa maelezo kwa Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na Mawasiliano Prof.Mbarawa (Wa tatu kushoto) jinsi ya mfumo wa kupokea na kupakua Makontena unavyfanya kazi.
RA4
Wafanyakazi wa TICTS wakiendelea na utekelezaji wa majukumu yao ya kupokea na kuruhusu makontena.

No comments:

Powered by Blogger.