WAZIRI MAKAME MBARAWA AFANYA ZIARA kitengo cha huduma ya Makontena Bandarini (TICTS)
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na
Mawasiliano Mhe.Profesa Makame Mbarawa akipokea taarifa ya Utendaji
kutoka kwa Mkurugenzi wa Biashara na Maendeleo wa kitengo cha huduma ya
Makontena Bandarini (TICTS) Bw.Donald Talawa mara alipofanya ziara ya
kukagua utendaji wa kitengo hicho Jijini Dar es salaam.
Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na
Mawasiliano Mhe.Profesa Makame Mbarawa akitoa maelekezo kwa Viongozi wa
Mamlaka ya Bandari (TPA) na TICTS ambapo amehimiza kuhusu hutoaji wa
huduma kwa haraka ili kuongeza ukusanyaji wa mapato,Kulia ni Hebel
Mhanga na kushoto ni Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa TPA Bwana Aloyce Matei.
Mtaalamu wa Uratibu wa huduma za
upakuaji wa TICTS akitoa maelezo kwa Waziri wa Ujenzi,Uchukuzi na
Mawasiliano Prof.Mbarawa (Wa tatu kushoto) jinsi ya mfumo wa kupokea na
kupakua Makontena unavyfanya kazi.
![RA4](https://lh3.googleusercontent.com/blogger_img_proxy/AEn0k_tYXV3jCOHOqDN_JyX2VvIcSnLOjNqjc0Tu3OwUpZnuvfN4K0BeF9uIlWPpQZ1KGOeJ-hFExYY7txM-c06wmFrlaPRzs_OllsTL9WC2KECo-E2jZca7n6dCIqqSeT7V7PtgKJI=s0-d)
Wafanyakazi wa TICTS wakiendelea na utekelezaji wa majukumu yao ya kupokea na kuruhusu makontena.
No comments:
Post a Comment