RAIS DKT. MAGUFULI AWAFARIJI FAMILIA YA NYERERE.
Rais
Dkt John Pombe Joseph Magufuli akisalimiana na Mama Maria Nyerere, Mjane
wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia
alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha mkwe
wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani.
Rais
Dkt John Pombe Joseph Magufuli akimfariji na Mama Maria Nyerere, Mjane
wa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere,na wanafamilia
alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha mkwe
wake Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani.
Rais
Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiagana na Mama Maria Nyerere, Mjane wa
Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, na wanafamilia
alipokwenda nyumbani kwake Msasani kumfariji kufuatia kifo cha mkwe wake
Marehemu Leticia Nyerere huko Maryland, Marekani.
No comments:
Post a Comment