Header Ads

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Atembelea Idara ya Uhamiaji Zanzibar.

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Mhe Hamad Yussuf Masauni akipata maelezo kutoka kwa Afisi wa Uhamiaji Zanzibar wakati wa ziara yake katika Idara ya Uhamiaji Zanzibar. 
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani Tanzania Mhe Hamad Yussuf Masauni akitembelea Vitengo vya Idara ya Uhamiaji Zanzibar wakati wa ziara yake na kuangalia Utendaji wa Idara hiyo Zanzibar.
Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani akimsikiliza Afisa Uhamiaji Zanzibar akitowa maelezo ya jinsi ya kuweka kumbukumbu za Passport wakati wa ziara yake.

No comments:

Powered by Blogger.