Header Ads

CHINA YATOA MAPENDEKEZO YA 13 KUKUA KWA UCHUMI NA KIJAMII

 Mchambuzi  wa masuala ya Siasa   na Taluma  za Jamii  na Naibu Mkurugenzi  wa Kamati ya Maendeleo  ya Jamii katika Wizara  ya Elimu nchini China, Gu Hailiang,akihutubia wajumbe waliohudhuria mkutano ambao Chama cha Kikomunisti cha Watu wa China kilibainisha mapendekezo ya 13 ya mpango wa miaka 5 ya maendeleo ya uchumi na kijamii, kwenye hoteli ya Dar es Salaam Serena.
  Mchambuzi  wa masuala ya Siasa   na Taluma  za Jamii  na Naibu Mkurugenzi  wa Kamati ya Maendeleo  ya Jamii katika Wizara  ya Elimu nchini China, Gu Hailiang, akihutubia kwenye mkutano wa kuelezea mpango wa miaka mitano ya maendeleo ya kiuchumi na kijamii kwenye hoteli ya Dar es Salaam Serena, wengine pichani  waliokaa meza kuu kushoto ni Mkuu wa Kitengo cha Mahusiano Ubalozi wa China,Ndugu Zhang Biao ,Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Dar es Salaam Ndugu Ramadhani Madabida, Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Kukuza Urafiki kati ya Tanzania na China  Ndugu Kahama.
 Sehemu ya wajumbe walioshiriki mkutano huo ambao ulihusisha Wahadhiri wa Vyuo vikuu na wanafunzi,shirikisho la vyuo vikuu pamoja na waandishi wa habari na ujumbe kutoka chama cha Kikomunisti cha China.

No comments:

Powered by Blogger.