UZINDUZI WA MFUMO WA TAARIFA ZA SOKO LA AJIRA.
Waziri wa Nchi Afisi ya Raisi Kazi na Utumishi wa Umma Harouna Ali
Suleiman akiwahutubia Vijana aliohudhuria katika Uzinduzi wa Mfumo wa
Taarifa za soko la ajira kwa Vijana Zanzibar.
Baadhi ya Vijana waliohudhuria katika ufunguzi wa kituo cha taarifa za
soko la Ajira Zanzibar huko Wizara ya Uwezeshaji Utawi wa Jamii Wanawake
na Watoto iliyopo Mwanakwerekwe.
Meneja wa Mradi wa Mfumo wa taarifa za Soko la Ajira Zanzibar
Ibrahim Mtongole akitoa maelezo akitoa maelezo kwa watu waliohudhuria
katika uzinduzi wa mfumo wa taarifa za soko la ajira Zanzibar. 
Mkurugenzi
wa Ajira Ameir Ali Ameir akimfahamisha Waziri na Viongozi wengine mbali
mbali jinsi ya mfumo wa taarifa za Soko la Ajira utakavyofanya kazi.(PICHA ZOTE NA MIZA OTHMAN- MAELEZO ZANZIBAR).
No comments:
Post a Comment