Header Ads

PICHA:BWENI LA WASICHANA SEKONDARI YA IDODI IRINGA LAWAKA MOTO TENA,LILIWAHI UA 13 MWAKA 2009



Bweni lililowaka moto.
Wananchi na  wanafunzi  wa shule ya  sekondari  Idodi  Iringa   wakishiriki  kuzima  moto katika  bweni la
wanafunzi  wa  kike  shuleni  hapo amnbalo lilikuwa  likiwaka  moto jana asubuhi.
 Sehemu ya wananchi wakishuhudia
------ MOTO  mkubwa  ambao  chanzo chake  kinatajwa  kuwa  ni  hitirafu  ya  umeme  umeteketeza bweni  la  wasichana  katika  shule  ya  Sekondari  Idodi  wilaya  ya  Iringa  mkoani Iringa .

No comments:

Powered by Blogger.