SERIKALI YAJIPANGA KUTUMIA NGUZO ZA ZEGE KUSAMBAZA UMEME
Ujumbe
kutoka Kampuni ya Sunshine Group Ltd, ukiwa katika mazungumzo na
wataalam wa Sekta ya Umeme kutoka Wizara ya Nishati na Madini pamoja na
Shirika la Umeme nchini – Tanesco (hawapo pichani). Kampuni hiyo
iliwasilisha mapendekezo (proposal) ya kuanzisha Kiwanda cha kutengeneza
nguzo za umeme za zege kwa ajili ya matumizi ya hapa nchini.
No comments:
Post a Comment