UKITAJA
jina la Edward Ngoyayi Lowassa utakuwa unamzungumzia Mbunge wa Jimbo la
Monduli mkoani Arusha tangu mwaka 1990 na Waziri Mkuu Mstaafu wa
Serikali ya Awamu ya Nne, aliyezaliwa Agosti 26, 1953.
Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, aliyezaliwa Agosti 26, 1953 Mheshimiwa Lowassa.
Mheshimiwa Lowassa amesoma elimu yake ya msingi katika shule ya
Monduli na baadaye Sekondari Arusha (Ilboru) na Milambo mkoani Tabora
alikojiwekea mazingira mazuri ya kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es
Salaam kuchukua shahada yake ya kwanza ya masuala…
LOWASSA ANAFAA AU HAFAI KUWA RAIS 2015?
Reviewed by
crispaseve
on
10:56 AM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment