Header Ads

LOWASSA ANAFAA AU HAFAI KUWA RAIS 2015?


UKITAJA jina la Edward Ngoyayi Lowassa utakuwa unamzungumzia Mbunge wa Jimbo la Monduli mkoani Arusha tangu mwaka 1990 na Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, aliyezaliwa  Agosti 26, 1953.
Waziri Mkuu Mstaafu wa Serikali ya Awamu ya Nne, aliyezaliwa  Agosti 26, 1953 Mheshimiwa Lowassa.
Mheshimiwa Lowassa amesoma elimu yake ya msingi katika shule ya Monduli na baadaye Sekondari Arusha (Ilboru) na Milambo mkoani Tabora alikojiwekea mazingira mazuri ya kujiunga na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam kuchukua shahada yake ya kwanza ya masuala…

No comments:

Powered by Blogger.