INDIA NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI YA KUANZISHWA KWA OFISI YA KUTANGAZA UTALII WA ZANZIBAR NCHINI INDIA
Kulia
ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo
Zanzibar na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL
ENTERPRISES ya India Nd. Jilesh H. Babla wakitiliana saini mkataba wa
makubaliano ya kuanzishwa kwa ofisi ya uwakala wa Utangazaji Utalii wa
Zanzibar Nchini India. (Picha na Makame Mshenga Maelezo-Zanzibar)
Kulia
ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo
Zanzibar na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL
ENTERPRISES ya India Nd. Jilesh H. Babla wakikabidhiana mkataba wa
makubaliano ya kuanzishwa kwa ofisi ya uwakala wa Utangazaji Utalii wa
Zanzibar Nchini India baada ya kumaliza kusaini. (Picha na Makame
Mshenga Maelezo-Zanzibar)
Katibu
Mtendaji wa Kamisheni ya Utalii Zanzibar Nd. Saleh Ramadhan Ferouz
akijibu maswali ya waandishi wa habari mara baada ya kumalizika kwa
tukio hilo. (Picha na Makame Mshenga Maelezo-Zanzibar)
Katibu
Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar na Wa 3
kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL ENTERPRISES ya India
Nd. Jilesh H. Babla na viongozi wengine kutoka Wizara ya Habari pamoja
na Kamisheni ya Utalii Zanzibar wakiwa katika picha ya pamoja.
No comments:
Post a Comment