HOTUBA YA RAIS KIKWETE KWENYE MAADHIMISHO YA MIAKA 38 YA KUZALIWA KWA CCM



Mwenyekiti
wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na maelfu
ya wananchi wakati akiingia katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo
kuongoza kilele cha sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
kuzaliwa kwa CCM

Mwenyekiti
wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua gwaride la
heshima lililoandaliwa na UVCCM katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea
leo katika kilele cha sherehe
za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM


Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akikagua
gwaride la heshima lililoandaliwa na UVCCM katika uwanja wa MajiMaji
mjini Songea leo katika kilele cha sherehe
za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM

Sehemu ya gwaride la heshima lililoandaliwa na UVCCM katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika
Jakaya Kikwete


Mwenyekiti wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete wakipokea gwaride la heshima
lililoandaliwa
na UVCCM katika uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika kilele cha
sherehe za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM

Mwenyekiti
wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia maelfu ya
wananchi uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika kilele cha sherehe
za kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
kuzaliwa kwa CCM

Mwenyekiti
wa Chama Tawala cha CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea wanachama
wapya akiwa na Mbunge wa Songe Mjini Dkt Emmanuel Nchimi nan Katibu Mkuu
wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana katika uwanjawa MajiMaji mjini Songea
leo katika kilele cha sherehe za
kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM
kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM

Msanii
Diamond akipongezwa na chipukizi wa UVCCM baada ya kutumbuiza katika
uwanja wa MajiMaji mjini Songea leo katika kilele cha sherehe za
kuadhimisha miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM.Picha na IKULU
No comments:
Post a Comment