Waziri wa Ujenzi Dr Joh Magufuli, Mbunge wa Jimbo la Ubungo-Chadema John Mnyika,Mbunge wa Jimbo la Kawe -Chadema Halima Mdee,Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Meck Sadic Wazindua ujenzi wa barabara za; Mbezi mwisho-Goba-Tangi Bovu, Barabara ya External –Kilungule, Barabara ya Msewe-Baruti!
Waziri wa Ujenzi Dr Joh Magufuli, Mbunge wa Jimbo la Ubungo-Chadema
John Mnyika,Mbunge
wa Jimbo la Kawe -Chadema Halima Mdee,Mkuu wa Mkoa wa
Dar es Salaam Meck Sadic Wakizindua ujenzi wa barabara ya Msewe-Baruti
Waziri wa Ujenzi Dr Joh Magufuli, Mbunge wa Jimbo la Ubungo-Chadema
John Mnyika,Mbunge
wa Jimbo la Kawe -Chadema Halima Mdee,Mkuu wa Mkoa wa
Dar es Salaam Meck Sadic Wakizindua ujenzi wa barabara ya Mbezi mwisho-Goba-Tangi Bovu
Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika, Waziri wa Ujenzi, Dkt John
Magufuli na Mbunge wa
Jimbo la Kawe, Halima Mdee mara baada ya kuzindua
mitambo itakayofanya kazi katika ujenzi wa barabara ya Mbezi
mwisho-Goba-Tangi bovu
Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika, Waziri wa Ujenzi, Dkt John
Magufuli na Mbunge wa
Jimbo la Kawe, wakisalimiana na wananchi baada ya kuzindua
mitambo itakayofanya kazi katika ujenzi wa barabara
Mbunge wa Jimbo la Ubungo, John Mnyika akizungumza na Waziri wa Ujenzi, Dkt. Pombe Magufuli
No comments:
Post a Comment