Soma Salaam Za Salamu za Mbunge wa Nzega -CCM Dr. Hamisi Kigwangalla kwa Watanzania , Mwaka Mpya 2015

Mbunge wa Nzega -CCM Dr Hamisi Kigwangalla
---
Ni Mwaka Mpya Tena! Dr. Hamisi Kigwangalla, MB.
Ndugu Watanzania wenzangu,
Kwa
heshima na taadhima na kwa moyo wa kiutumishi, najisikia furaha
kuwatumia salamu za Mwaka mpya 2015. Kwa hakika Mungu amekuwa mwema sana
kwangu na kwako mwaka 2014 kwa namna nyingi mbalimbali, ila kwa kiasi
kikubwa kwa kutujalia zawadi ya uhai, mafanikio kwenye kazi zetu,
uvumilivu tulipoanguka, nguvu tulipokutana na changamoto mbalimbali, na
uwezo wa kupambana nazo tulipolazimika kufanya hivyo, na zaidi kwa
kutusimamisha pamoja kwenye kamba ya mshkamano wa kitaifa kwa sisi sote
kama watanzania.
No comments:
Post a Comment