Rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi ameitaka jamii ya wafugaji wa Kimasai kuunga mkono jitihada za waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi kuikomboa kielimu jamii hiyo kwa kuhakikisha watoto wa kike wanakwenda shule badala ya kuolewa mapema.

Waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa akionyesha kifimbo alichopewa na
Rais mstaafu Ali Hassan Mwinyi, kama ishara ya kutambua mchango wake
katika sekta ya elimu kwa watoto wa kike wa jamii ya Kimasai mkoani
Arusha jana. Kulia ni Mama Siti Mwinyi. Picha na Mussa Juma
----
Rais mstaafu, Ali Hassan Mwinyi ameitaka jamii ya wafugaji wa
Kimasai kuunga mkono jitihada za waziri mkuu wa zamani, Edward Lowassa
na Mwenyekiti wa makampuni ya IPP, Reginald Mengi kuikomboa kielimu
jamii hiyo kwa kuhakikisha watoto wa kike wanakwenda shule badala ya
kuolewa mapema.
No comments:
Post a Comment