Header Ads

Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara afunga kikao kazi cha Maafisa Mawasiliano

Baadhi ya Maafisa Mawasiliano wa Serikali wakiwa katika picha ya Pamoja na Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Bw. Bw.Johansen Bukwari (aliyevaa Kaunda suti) kushoto kwake ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari(MAELEZO) Bw. Assah Mwambene. Picha na Hassan Silayo.
 Kaimu Katibu Tawala Mkoa wa Mtwara Bw.Johansen Bukwari akiongea na Maafisa Mawasiliano Serikalini ambapo alisisitiza umuhimu wa Maafisa Mawasiliano kutoa taarifa za Serikali kwa Umma.
 Mwenyekiti wa Muda wa Chama cha Maafisa Mawasiliano Serikalini(TAGCO) Bw. Innocent Mungy akitoaa taarifa futi ya utekelezaji wa kazi wa chama hicho kwa Maafisa Mawasiliano wakati wa ufungaji wa kikao kazi cha Maafisa ha oleo Mkoani Mtwara.
 Katibu Mkuu Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Bi. Sihaba Nkinga akiwaeleza Maafisa Mawasiliano Serikalini umuhimu wa kuwa na ushirikiano na vyombo vya Habari kwa dhumuni la kuieleza jamii nini serikali inakifanya, pia aliwataka kuendelea kuongeza juhudi katika utendaji kazi kupitia mafunzo waliyoyapata katika kikao kazi hiki.

No comments:

Powered by Blogger.