BUNGE LAENDELEA NA VIKAO VYAKE MJINI DODOMA
Naibu
Waziri wa Nishati na Madini, Charles Mwijage akijibu moja ya maswali
yaliyoelekezwa kwenye wizara yake katika kipindi cha maswali na majibu
Januari 30,2015 Bungeni mjini Dodoma.
Naibu Waziri wa Viwanda na Biashara Janet Mbene akijibu swali Bungeni mjini Dodoma.
Naibu
Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia na Watoto, Dkt. Pindi Chana
akijibu maswali kutoka kwa wabunge mjini Dodoma wakati wa kipindi cha
maswali na majibu.
Naibu Waziri wa Maji, Amos Makalla akitoa maelezo wakati wa kipindi cha maswali na majibu Bungeni mjini Dodoma.
Naibu
Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Godfrey Zambi akitoa kauli ya
Serikali kuhusu Mkakati wa Serikali wa Kutatua Changamoto za Soko la
Sukari nchini, Bungeni mjini Dodoma.
Mbunge
wa Viti Maalum (Chadema) Susan Lyimo akichangia hoja ya Kamati za Bunge
za Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Bajeti na Kamati Hesabu za
Serikali za Mitaa(LAAC) Bungeni mjini Dodoma.
Waziri
Mkuu Mstaafu Edward Lowassa (kushoto) akiteta jambo na Mbunge wa
Kuteuliwa na Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi, James Mbatia,
Bungeni mjini Dodoma.
Mbunge
wa Viti Maalum (CCM) Ester Bulaya akichangia hoja ya ya Kamati za Bunge
za Hesabu za Serikali (PAC), Kamati ya Bajeti na Kamati Hesabu za
Serikali za Mitaa(LAAC) jana Bungeni mjini Dodoma.
Mbunge
wa Mkanyageni Mohamed Habibu Mnyaa akichangia hoja Bungeni mjini Dodoma
wakati wa kuchangia hoja za Kamati za Bunge za Hesabu za Serikali
(PAC), Kamati ya Bajeti na Kamati Hesabu za Serikali za Mitaa(LAAC).
Baadhi ya wageni waliohudhuria kwenye ukumbi wa Bunge la Jamhuri bungeni mjini Dodoma.
Picha zote na Hussein Makame-MAELEZO, Dodoma
Mmoja wa Chipukizi akiwa amebebwa baada ya kuzimia akifanya mazoezi ya
gwaride
Bendi ya Vijana wa CCM kutoka Zimbabwe ikiongoza mazoezi ya gwaride
Mkurugenzi wa TOT John Komba akizungumza na bendi ya vijana wa CCM
kutoka Zanzibar
Posted by Richard Mwaikenda at Saturday, January 31, 2015 0 comments
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
Magazeti Leo Jumamosi
Posted by Richard Mwaikenda at Saturday, January 31, 2015 0 comments
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
PAC YAISHAURI SERIKALI NAMNA YA KUINUSURU KAMPUNI YA TTCL
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC),
Kabwe Zitto (kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Deo
Filikunjombe wakiwa katika majukumu yao.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC),
Kabwe Zitto (kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Deo
Filikunjombe wakiwa katika majukumu yao.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha
Kazaura (kushoto) akiwa katika majukumu.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha
Kazaura (kushoto) akiwa katika majukumu.
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetoa mapendekezo ya
kuinusuru Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kutokana na hali mbaya ya
kampuni hiyo kifedha kwa sasa ambapo inaendeshwa kwa hasara huku ikiwa
na madeni makubwa. PAC imetoa mapendekezo hayo katika taarifa yao kwa
bunge ya mwaka juu ya ukaguzi wa hesabu za Serikali kwa mashirika ya
umma iliyotolewa Januari 28 mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa ya PAC hali ya mapato na matumizi ya TTCL kwa
mwaka 2012 ilipata hasara ya bilioni 20.883 huku kwa mwaka 2013 ikipata
hasara ya bilioni 16.258. PAC ilisema majumuisho ya hasara ya TTCL
kupata hasara kwa takribani kwa miaka 10, Kampuni sasa imekuwa na hasara
ambayo kwa mwaka 2013 ilifikia bilioni 334.48, jambo ambalo
limeiondolea mvuto wa kukopeshwa na taasisi za fedha hata zile zenye nia
ya kuikopesha.
"...Ukosefu wa fedha za kutosha kutekeleza miradi ya Kampuni umekuwa
kikwazo kwa TTCL kukabiliana na ushindani wa kibiashara. Kwa kipindi
kirefu ufanisi wa TTCL kiuwekezaji na kifedha umeendelea kudorora. Tangu
TTCL ibinafsishwe mwaka 2001, hakuna uwekezaji mkubwa uliofanyika na
mpango wa kutafuta mkopo kutoka mabenki ya ndani na nje ya nchi
unakwamishwa na masharti ya kupata udhamini wa Serikali," ilieleza
taarifa hiyo ya PAC. PAC iliongeza kuwa ukiacha madeni yaliopo pia TTCL
inadaiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) jumla ya
bilioni 25 hivyo kufanya jumla ya deni kufikia bilioni 101.6.
Kamati hiyo ya bunge imesema kuna umuhimu wa Serikali kufanya maamuzi ya
haraka ya kuikwamua TTCL ili iweze kuendelea kutoa huduma kwenye Sekta
ya Mawasiliano ikizingatiwa kuwa ndiyo inayoendesha Mkongo wa Taifa wa
mawasiliano. Katika mapendekezo ya PAC ili kuikwamua TTCL imeishauri
Serikali kununua hisa asilimia 35 zinazomilikiwa na Bharti Airtel katika
TTCL kwa gharama ndogo kwani Bharti Airtel haikutimiza kikamilifu
masharti ya mkataba wa mauziano ya hisa hizo hapo awali kwani tangu
inunue hisa hizo haijafanya uwekezaji katika Kampuni ya TTCL.
"...TTCL isamehewe deni la Serikali Sh. 76.6 bilioni na deni la TCRA Sh.
25 bilioni ambayo jumla yake ni Sh. 101.6 bilioni na fedha hizo
zipelekwe kuongeza mtaji ili Kampuni itoke kwenye kuwa na mtaji hasi wa
Sh. 87.896 bilioni na kuwa na mtaji chanya wa sh. 13.704 bilioni.
Likifanyika hili basi Kampuni hiyo itaweza kukopesheka. Serikali
ikamilishe taratibu zake za kuimilikisha TTCL Mkongo wa Taifa ili izidi
kuuendeleza kwa ufanisi na kuongeza mapato ya TTCL," ilieleza sehemu ya
taarifa hiyo. Hata hivyo PAC imeshauri kuwa kuna umuhimu wa kufanya
marekebisho ya muundo wa Kampuni ya TTCL kwani kwa sasa ina idadi kubwa
ya wafanyakazi (1549) isiyoweza kuwalipa.
Aidha, ilibainisha kuwa kwa sasa zinahitajika bilioni 32 kwa ajili ya
kugharamia urekebishaji wa muundo wa Kampuni ili uendane na mahitaji ya
utoaji wa huduma mbalimbali. Mashirika mengine yenye hali mbaya kifedha
na uendeshaji ni pamoja na Shirika la Ndege Tanzania, ATCL ambayo kwa
sasa ina madeni makubwa huku ikiwa na ndege moja aina ya Dash 8–Q 300,
Wafanyakazi 142 na Jengo la ATC House lililoko mtaa wa Ohio, Dar es
Salaam.
Posted by Richard Mwaikenda at Saturday, January 31, 2015 0 comments
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
wakulima wa pareto wasaidiwa mbegu na miche ya zaidi ya Sh Mil 400 na
kiwanda cha Pareto (PCT
Meneja wa kiwanda cha pareto mafinga (PCT) Martine Oweka
mkulima akiwa shambani akiendelea kufanya kazi shambani.hili ni shamba
lilopo mbeya
wakulima wakiwa shambani wakiendelea kufanya kazi shambani huko mbeya.
hii ndio pareto yenyewe ikiwa tayari kwa kuvunwa
na Tumaini Msowoya,iringa
KIWANDA cha Pareto (PCT), cha Mafinga wilayani Mufindi kimetumia zaidi
ya shilingi milioni 400, kwa ajili ya kuwasaidia wakulima mbegu na miche
ya zao hilo, ili kukuza na kuinua zao hilo.
Kila msimu wa Kilimo, kiwanda hicho kimekuwa kikisambaza mbegu na miche
ya Pareto kwa wakulima wa zao hilo katika mikoa yote ambayo zao hilo
limekuwa likistawi ikiwemo Iringa, Mbeya, Njombe na Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja wa kiwanda hicho Martine
Oweka alisema kuwa lengo lao ni kuhakikisha zao la Pareto ambalo ni
mkombozi kwa mkulima.
Oweka amewataka wakulima wa mikoa hiyo kulima zao hilo kwa wingi ili
waweze kuinua kipato chao na kuondokana na umaskini kutokana na kuwepo
kwa uhakika wa soko la zao hilo, tofauti na miaka ya nyuma kufuatia
uwepo wa kiwanda.
Oweka alisema ili wakulima waondokane na umaskini, lazima wajikite
katika mazao ya biashara likiwemo pareto, kutokana na zao hilo kwa sasa
kuwa na bei nzuri katika soko la dunia.
Alisema kuwa endapo wakulima wa mkoa wa Iringa na mingine inayostawisha
zao hilo wataamua kulima pareto kama zao mama la biashara wanaweza
kuondokana na umaskini, kutokana na ukweli kwamba, zoko la pareto
limekuwa na uhakika tofauti na miaka ya nyuma wakati soko la zao hilo
lilipoyumba.
Aliongeza kuwa kwa sasa kiwanda chao kinalima zaidi ya ekari 300 za
pareto, na kwamba kazi kubwa iliyopo ni kuhakikisha kuwa wakulima
wanalima zao hilo na kufuatilia hatua zote za kupanda, kuvuna, kukausha
na kusafirisha hadi kiwandani.
Akizungumzia masoko ya kimataifa Oweka alisema kuwa kwa sasa zipo nchi
nyingi ambazo zinauhitaji mkubwa wa zao la pareto na ndiyo maana bei
yake ipo juu.
Alizitaja nchi hizo kuwa ni Japani, India, Australia na nchi zilizopo
bara la Ulaya kuwa wananunua pareto kwa wingi.
Posted by Richard Mwaikenda at Saturday, January 31, 2015 0 comments
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
Rais Kikwete akiwa kwenye Mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis
Ababa,Ethiopia
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipitia moja ya taarifa wakati akiwa
kwenye Mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa,Ethiopia
leo.Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mh.
Bernard Membe.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Malawi Profesa Peter Mutharika
(kulia) wakikutana na marais wastaafu, Thabo Mbeki wa Afrika ya
Kusini(Kushoto) na Joachim Chissano wa Msumbiji(wapili kushoto) wakati
wa mkutano wa 24 wa kawaida wa wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa
Afrika unaofanyika Addis Ababa Ethiopia leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais wa Malawi Professa Peter
Mutharika jijini Addis Ababa Ethiopia leo.Viongozi hao wanahudhuria
mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais wa Malawi Professa Peter
Mutharika(Wanne kushoto), Rais mstaafu wa Msumbiji Joachim Chissano,
Rais mstaafu wa Afrika ya Kusini Thabo Mbeki(kulia) pamoja na Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe (kushoto)wakiwa
katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya kukutana wakati wa mkutano wa
wakuu wan chi wanachama wa AU unaofanyika jijini Addis Ababa
Ethiopia(picha na Freddy Maro)
Posted by Richard Mwaikenda at Saturday, January 31, 2015 0 comments
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
Older Posts Home
Wanaotembelea Blogu hii
Sparkline 2160332
MATOKEO YA KIDATO CHA PILI
MATOKEO YA KIDATO CHA PILI
BOFYA HAPA KUTAZAMA
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE HAYA HAPA
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 HAYA HAPA
Tanzania National Flag
Tanzania National Flag
Time
Dar es Salaam
The Digital Company
The Digital Company
Mtayarishaji:
Mtayarishaji:
Richard Mwaikenda
BONGO HITS
Find more music like this on GongaMx
Blog Archive
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Mmoja wa Chipukizi akiwa amebebwa baada ya kuzimia akifanya mazoezi ya
gwaride
Bendi ya Vijana wa CCM kutoka Zimbabwe ikiongoza mazoezi ya gwaride
Mkurugenzi wa TOT John Komba akizungumza na bendi ya vijana wa CCM
kutoka Zanzibar
Posted by Richard Mwaikenda at Saturday, January 31, 2015 0 comments
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
Magazeti Leo Jumamosi
Posted by Richard Mwaikenda at Saturday, January 31, 2015 0 comments
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
PAC YAISHAURI SERIKALI NAMNA YA KUINUSURU KAMPUNI YA TTCL
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC),
Kabwe Zitto (kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Deo
Filikunjombe wakiwa katika majukumu yao.
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC),
Kabwe Zitto (kulia) na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, Deo
Filikunjombe wakiwa katika majukumu yao.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha
Kazaura (kushoto) akiwa katika majukumu.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Dk. Kamugisha
Kazaura (kushoto) akiwa katika majukumu.
KAMATI ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) imetoa mapendekezo ya
kuinusuru Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL) kutokana na hali mbaya ya
kampuni hiyo kifedha kwa sasa ambapo inaendeshwa kwa hasara huku ikiwa
na madeni makubwa. PAC imetoa mapendekezo hayo katika taarifa yao kwa
bunge ya mwaka juu ya ukaguzi wa hesabu za Serikali kwa mashirika ya
umma iliyotolewa Januari 28 mwaka 2015.
Kwa mujibu wa taarifa ya PAC hali ya mapato na matumizi ya TTCL kwa
mwaka 2012 ilipata hasara ya bilioni 20.883 huku kwa mwaka 2013 ikipata
hasara ya bilioni 16.258. PAC ilisema majumuisho ya hasara ya TTCL
kupata hasara kwa takribani kwa miaka 10, Kampuni sasa imekuwa na hasara
ambayo kwa mwaka 2013 ilifikia bilioni 334.48, jambo ambalo
limeiondolea mvuto wa kukopeshwa na taasisi za fedha hata zile zenye nia
ya kuikopesha.
"...Ukosefu wa fedha za kutosha kutekeleza miradi ya Kampuni umekuwa
kikwazo kwa TTCL kukabiliana na ushindani wa kibiashara. Kwa kipindi
kirefu ufanisi wa TTCL kiuwekezaji na kifedha umeendelea kudorora. Tangu
TTCL ibinafsishwe mwaka 2001, hakuna uwekezaji mkubwa uliofanyika na
mpango wa kutafuta mkopo kutoka mabenki ya ndani na nje ya nchi
unakwamishwa na masharti ya kupata udhamini wa Serikali," ilieleza
taarifa hiyo ya PAC. PAC iliongeza kuwa ukiacha madeni yaliopo pia TTCL
inadaiwa na Mamlaka ya Udhibiti wa Mawasiliano Tanzania (TCRA) jumla ya
bilioni 25 hivyo kufanya jumla ya deni kufikia bilioni 101.6.
Kamati hiyo ya bunge imesema kuna umuhimu wa Serikali kufanya maamuzi ya
haraka ya kuikwamua TTCL ili iweze kuendelea kutoa huduma kwenye Sekta
ya Mawasiliano ikizingatiwa kuwa ndiyo inayoendesha Mkongo wa Taifa wa
mawasiliano. Katika mapendekezo ya PAC ili kuikwamua TTCL imeishauri
Serikali kununua hisa asilimia 35 zinazomilikiwa na Bharti Airtel katika
TTCL kwa gharama ndogo kwani Bharti Airtel haikutimiza kikamilifu
masharti ya mkataba wa mauziano ya hisa hizo hapo awali kwani tangu
inunue hisa hizo haijafanya uwekezaji katika Kampuni ya TTCL.
"...TTCL isamehewe deni la Serikali Sh. 76.6 bilioni na deni la TCRA Sh.
25 bilioni ambayo jumla yake ni Sh. 101.6 bilioni na fedha hizo
zipelekwe kuongeza mtaji ili Kampuni itoke kwenye kuwa na mtaji hasi wa
Sh. 87.896 bilioni na kuwa na mtaji chanya wa sh. 13.704 bilioni.
Likifanyika hili basi Kampuni hiyo itaweza kukopesheka. Serikali
ikamilishe taratibu zake za kuimilikisha TTCL Mkongo wa Taifa ili izidi
kuuendeleza kwa ufanisi na kuongeza mapato ya TTCL," ilieleza sehemu ya
taarifa hiyo. Hata hivyo PAC imeshauri kuwa kuna umuhimu wa kufanya
marekebisho ya muundo wa Kampuni ya TTCL kwani kwa sasa ina idadi kubwa
ya wafanyakazi (1549) isiyoweza kuwalipa.
Aidha, ilibainisha kuwa kwa sasa zinahitajika bilioni 32 kwa ajili ya
kugharamia urekebishaji wa muundo wa Kampuni ili uendane na mahitaji ya
utoaji wa huduma mbalimbali. Mashirika mengine yenye hali mbaya kifedha
na uendeshaji ni pamoja na Shirika la Ndege Tanzania, ATCL ambayo kwa
sasa ina madeni makubwa huku ikiwa na ndege moja aina ya Dash 8–Q 300,
Wafanyakazi 142 na Jengo la ATC House lililoko mtaa wa Ohio, Dar es
Salaam.
Posted by Richard Mwaikenda at Saturday, January 31, 2015 0 comments
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
wakulima wa pareto wasaidiwa mbegu na miche ya zaidi ya Sh Mil 400 na
kiwanda cha Pareto (PCT
Meneja wa kiwanda cha pareto mafinga (PCT) Martine Oweka
mkulima akiwa shambani akiendelea kufanya kazi shambani.hili ni shamba
lilopo mbeya
wakulima wakiwa shambani wakiendelea kufanya kazi shambani huko mbeya.
hii ndio pareto yenyewe ikiwa tayari kwa kuvunwa
na Tumaini Msowoya,iringa
KIWANDA cha Pareto (PCT), cha Mafinga wilayani Mufindi kimetumia zaidi
ya shilingi milioni 400, kwa ajili ya kuwasaidia wakulima mbegu na miche
ya zao hilo, ili kukuza na kuinua zao hilo.
Kila msimu wa Kilimo, kiwanda hicho kimekuwa kikisambaza mbegu na miche
ya Pareto kwa wakulima wa zao hilo katika mikoa yote ambayo zao hilo
limekuwa likistawi ikiwemo Iringa, Mbeya, Njombe na Arusha.
Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja wa kiwanda hicho Martine
Oweka alisema kuwa lengo lao ni kuhakikisha zao la Pareto ambalo ni
mkombozi kwa mkulima.
Oweka amewataka wakulima wa mikoa hiyo kulima zao hilo kwa wingi ili
waweze kuinua kipato chao na kuondokana na umaskini kutokana na kuwepo
kwa uhakika wa soko la zao hilo, tofauti na miaka ya nyuma kufuatia
uwepo wa kiwanda.
Oweka alisema ili wakulima waondokane na umaskini, lazima wajikite
katika mazao ya biashara likiwemo pareto, kutokana na zao hilo kwa sasa
kuwa na bei nzuri katika soko la dunia.
Alisema kuwa endapo wakulima wa mkoa wa Iringa na mingine inayostawisha
zao hilo wataamua kulima pareto kama zao mama la biashara wanaweza
kuondokana na umaskini, kutokana na ukweli kwamba, zoko la pareto
limekuwa na uhakika tofauti na miaka ya nyuma wakati soko la zao hilo
lilipoyumba.
Aliongeza kuwa kwa sasa kiwanda chao kinalima zaidi ya ekari 300 za
pareto, na kwamba kazi kubwa iliyopo ni kuhakikisha kuwa wakulima
wanalima zao hilo na kufuatilia hatua zote za kupanda, kuvuna, kukausha
na kusafirisha hadi kiwandani.
Akizungumzia masoko ya kimataifa Oweka alisema kuwa kwa sasa zipo nchi
nyingi ambazo zinauhitaji mkubwa wa zao la pareto na ndiyo maana bei
yake ipo juu.
Alizitaja nchi hizo kuwa ni Japani, India, Australia na nchi zilizopo
bara la Ulaya kuwa wananunua pareto kwa wingi.
Posted by Richard Mwaikenda at Saturday, January 31, 2015 0 comments
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
Rais Kikwete akiwa kwenye Mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis
Ababa,Ethiopia
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akipitia moja ya taarifa wakati akiwa
kwenye Mkutano wa Umoja wa Afrika (AU) mjini Addis Ababa,Ethiopia
leo.Kushoto ni Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa,Mh.
Bernard Membe.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Malawi Profesa Peter Mutharika
(kulia) wakikutana na marais wastaafu, Thabo Mbeki wa Afrika ya
Kusini(Kushoto) na Joachim Chissano wa Msumbiji(wapili kushoto) wakati
wa mkutano wa 24 wa kawaida wa wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa
Afrika unaofanyika Addis Ababa Ethiopia leo.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwa na Rais wa Malawi Professa Peter
Mutharika jijini Addis Ababa Ethiopia leo.Viongozi hao wanahudhuria
mkutano wa wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika.
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete,Rais wa Malawi Professa Peter
Mutharika(Wanne kushoto), Rais mstaafu wa Msumbiji Joachim Chissano,
Rais mstaafu wa Afrika ya Kusini Thabo Mbeki(kulia) pamoja na Waziri wa
Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Bernard Membe (kushoto)wakiwa
katika picha ya pamoja muda mfupi baada ya kukutana wakati wa mkutano wa
wakuu wan chi wanachama wa AU unaofanyika jijini Addis Ababa
Ethiopia(picha na Freddy Maro)
Posted by Richard Mwaikenda at Saturday, January 31, 2015 0 comments
Email ThisBlogThis!Share to TwitterShare to FacebookShare to Pinterest
Older Posts Home
Wanaotembelea Blogu hii
Sparkline 2160332
MATOKEO YA KIDATO CHA PILI
MATOKEO YA KIDATO CHA PILI
BOFYA HAPA KUTAZAMA
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE HAYA HAPA
MATOKEO YA KIDATO CHA NNE 2013 HAYA HAPA
Tanzania National Flag
Tanzania National Flag
Time
Dar es Salaam
The Digital Company
The Digital Company
Mtayarishaji:
Mtayarishaji:
Richard Mwaikenda
BONGO HITS
Find more music like this on GongaMx
Blog Archive
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
Copy and WIN : http://bit.ly/copynwin
No comments:
Post a Comment