Header Ads

Balozi wa Tanzania nchini ujerumani Philip Sang'ka Marmo awasilisha Hati za Utambulisho kwa Papa Francis


 Baba Mtakatifu Francis akimsalimia Mtoto wa Mmoja wa Maafisa walioambatana na Balozi Marmo
 Balozi Marmo akiwa katika picha ya pamoja na Baba Mtakatifu Francis
 Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani,  Mhe. Philip Sang'ka Marmo, amewasilisha Hati za Utambulisho kwa Baba Mtakatifu Francis, Vatican-Roma, Italia. Balozi Marmo anawakilisha Ujerumani na ndiye anayemwakilisha Mheshimiwa Rais kwa Baba Mtakatifu (Holy See). Kwa utaratibu Mabalozi waliopo Italia hawaruhusiwi kuwakilisha nchi zao kwa Baba Mtakatifu yaani Holy See. Nchi nyingine ambazo Mhe. Balozi Marmo anawakilisha ni Austria, Bulgaria, Jamhuri ya Czech, Hungaria,Ujerumani, Poland, Slovakia, Romania na Switzerland.

No comments:

Powered by Blogger.