AIRTEL YATOA VITABU VYA SAYANSI SEKONDARI BARIADI SIMIYU
.jpg)
Mkuu
wa wilaya ya Bariadi Bw. Erasto Sima akisoma Hotuba katika makabidhiano
ya msaada wa vitabu vya masomo ya sayansi kwa shule ya sekondari Bariadi
uliotolewa na kampuni ya Airtel Tanzania.
.jpg)
Mkuu
wa shule ya sekondari ya Bariadi Bw. Pawa Lutema akipokea msaada wa
vitabu vya sayansi kutoka kwa mkuu wa wilaya Bariadi, Vitabu hivyo vyote
vinathamani ya sh milioni 6 na ni vya masomo ya sayansi kutoka kampuni
ya simu ya Airtel kupitia mradi wake wa kusaidia elimu wa Airtel Shule
yetu.
.jpg)
Meneja
wa Airtel Simiyu Bw. Ezekiel Nungwi akikabidhi msaada wa vitabu vya
sayansi vyenye thamani ya milioni 6 kwa Mkuu wa wilaya ya Bariadi Bw.
Erasto Sima, vitabu hivyo ni sehemu ya msaada wa Airtel kupitia mradi
wake wa Airtel shule yetu.
No comments:
Post a Comment