ABIRIA 57 WAPOTEZA MAISHA KATIKA AJALI YA BASI NCHINI PAKISTAN

Madaktari katika hospitali kuu ya Karachi wameeleza kuwa miili ya watu hao imeteketea kabisa kwa moto na itaweza kutambuliwa kwa kutumia teknolojia ya DNA.
Waziri wa mawasiliano wa Pakistan ameeleza kuwa ajali hiyo imetokea kilometa 15 nje ya jiji la Karachi.




No comments:
Post a Comment