Header Ads

RIDHIWANI AANZA KUTIMIZA AHADI, AWASHUKURU WANANCHI KWA KUMCHAGUA CHALINZE

Mbunge wa Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete akimkabidhi Diwani wa Kata ya Miono. Senguli Mbele moja kati ya matairi manne aliyonunua kwa ajili ya gari la kubebea wagonjwa katika Kituo cha Afya cha Miono, wakati wa mkutano wa kuwashukuru wananchi kwa kumchagua miezi sita iliyopita. Mkutano huo ulifanyika jana katika Kata ya Miono, Chalinze, wilayani Bagamoyo, Pwani.
Wananchi wakiwa kwenye mkutano huo.(PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mmasai mwenye jamii ya kifugaji Andokela Okunge akiuliza swali kwa Mbunge Ridhiwani kuhsu Jamii sivyowaendea haki wafugaji ambapo alidai kuwa mkulima anaweza kuuzi shamba halafu baadaye anageuka na kusema amedhulumia jambo ambalo si kweli.

No comments:

Powered by Blogger.