Waziri wa maliasili na utalii na mbunge wa jimbo la Singida kaskazini(CCM) ,Lazaro Nyalandu,ametangaza rasmi nia ya kugombea nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu 2015

Waziri Nyalandu akiwa na watoto wake wakati wa ibada maalum
iliyofanyilka leo katika Kanisa la KKKT Usharika wa Ilongelo Jimbo la
Singida Kaskazini

Nyalandu na Faraja Kota wakiwa na watoto wao Sera na Christopher katika kanisa hilo

Mwimbaji wa nyimbo za Injili lkatika Kanisa la KKKT Usharika wa Ilongelo

Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu
akitoa neno la shukrani baada ya ibada maalum katika katisa la KKKT
Usharika wa Ilongelo jimboni humo leo

Waumini wakiwa katika kanisa la FPCT wakati wa ibada maalum aliyohudhuria Nyalandu leo

Nyalandu
na Mkewe wakitoka katika Kanisa la FPCT baada ya kuhudhuria ibada
maalum leo asubuhi. Picha zote na Bashir Nkoromo-theNkoromo Blog
Waziri
wa Maliasili na Utalii, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu
akizungumza na viongozi wa shule ya Kiislam ambayo huhudumia watoto wa
dini zote katika kata ya Ilongelo, shule hiyo ina watoto 74.

Waziri
wa Maliasili na Utalii Lazaro Nyalandu akisalimia waumini kwenye Kanisa
la FPCT katika jimbo la Ilongelo alipofika kwa ajili ya ibada maalum
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazalo
Nyalandu alisalimia wananachi baada ya kuwasili na mkewe Faraja Kota
kwenye Mkutano wa jimbo uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Michezo wa
Ilongelo, jimboni humo
Steve
Nyerere ambaye ni Msanii na Kamanda wa Umoja wa Vijana wa CCM,
akizungumza kabla ya kumwaga vimbwanga vyake vya kuingiza sauti za
viongozi mbalimbali wakati wa mkutano huo wa Nyalandu.
Mwimbaji wa muziki wa Injili, Frola Nkone akiimba kutumbuiza wakati wa mkutano huo
Mwanamuziki wa muizki wa Injili, Rose Mhando akiimba kutumbuiza wananchi katika mkutano huo wa Nyalandu
Wadau wakifurahia burudani wakati wa mkutano huo wa Nyalandu
Wasanii wa kikundi cha Makomandoo cha mjini Singida wakitumuiza wakati wa mkutano huo
Waziri wa Maliasili na Utalii, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazalo
Nyalandu alisalimia wananachi baada ya kuwasili na mkewe Faraja Kota
kwenye Mkutano wa jimbo uliofanyika leo kwenye Uwanja wa Michezo wa
Ilongelo, jimboni humo.Picha na Bashir Nkromo
----
WAZIRI wa maliasili na utalii na mbunge wa jimbo la Singida
kaskazini(CCM) ,Lazaro Samwel Nyalandu,ametangaza rasmi nia ya kugombea
nafasi ya urais katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika mwakani.
Nyalandu ametangaza nia hiyo leo kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika katika kijiji cha Ilongero Jimbo la Singida kaskazini.
No comments:
Post a Comment