Header Ads

WALIOCHAGULIWA KIDATO CHA KWANZA 2015 HADHARANI

 Majina ya wanafunzi wa darasa la saba 2014 ambao wamefaulu na kuchaguliwa kujiunga na masomo ya sekondari (kidato cha kwanza) mwaka 2015 yanapatikana katika mbao za matangazo katika shule za Msingi walizo soma watoto hao na katika ubao wa matangazo wa ofisi za Kata zilizo jirani. 

Hivyo wazazi na  wanafunzi wametakiwa kufika katika shule husika au katika Ofisi za Kata kuangalia majina ya wanafunzi hao na shule walizo chaguliwa. Pichani ni Baadhi uya wanafunzi na wazazi wakiangalia majina hayo katika ofisi ya Mtendaji Kata ya Makurumla jijini Dar es Salaam jana.
Naibu Waziri –Elimu Ofisi ya Waziri Mkuu-TAMISEMI,Kassim Majaliwa (katikati) akizungumza na waandishi Dar es Salaam jana kuhusu wanafunzi waliochaguliwa kujiunga Kidato cha kwanza mwaka 2015.

No comments:

Powered by Blogger.