UWANJA WA NDEGE MPANDA WAASWA KUTUNZA MIUNDOMBINU
Timu
ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango
ikiwasili katika Uwanja wa Ndege wa Mpanda kujionea shughuli mbalimbali
za maendeleo uwanjani hapo.
Kiongozi
wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya
Mipango, Bibi Florence Mwanri (Kushoto) akizungumza na Meneja wa Uwanja
wa ndege wa Mpanda, Mkoani Katavi Bw. Seneti Lyatuu (Kulia).
Anayefuatilia mazungumzo ni Bw. Omary Abdallah ambaye Kaimu Mkurugenzi
wa Mipango na Ufuatiliaji (Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango).
No comments:
Post a Comment