Header Ads

Msimu wa pili wa tamthilia Siri ya Mtungi Wazinduliwa, kuonekana TBC


 Mtayarishaji wa tamthilia ya Siri ya Mtungi  Louise Kamin kutoka  Shirika Lisilo la Kiserikali la  Media for Development International Tanzania (MFDI-TZ) akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari kuhusiana na msimu wa pili na wa mwisho wa tamthilia hiyo. Kutoka kulia kwa Kamin ni Karabani (Muongozaji), Cheche (Muigizaji), Jordan Riber (Muongozaji). Kutoka kushoto ni Goldliver Gordian (cheusi) na David Michael (Duma).
 Cheche akizungumza katika mkutano huo.
 Muongozaji wa tamthilia hiyo, Karabani akisisitiza jambo katika mkutano huo.
Muongozaji , Jordan Riber akifafanua jambo katika mkutano huo.

No comments:

Powered by Blogger.