Header Ads

Soma Kauli ya Aliyekua Waziri wa Ardhi Nyumba na Makazi Prof. Anna Tibaijuka Baada ya Rais Jakaya Kikwete Kutengua Uteuzi Wake

 Aliyekua Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi Profesa Anna Tibaijuka 
--
[Baadhi ya] Wananchi mkoani Kagera wamepinga uamuzi wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Dk Jakaya Mrisho Kikwete kwa kumuondoa madarakani Waziri wa Ardhi, Nyumba na Makazi na kuwaweka kiporo viongozi wengine walioshiri kuhujumu pesa za akaunti ya Tegeta Escrow.

Nao baadhi ya viongozi wa vyama vya siasa vya mkoa huo akiwemo Katibu wa Siasa na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi mkoa wa Kagera, Hamim Mahamoud amepongeza uamuzi wa Rais alioutoa jana kwa kumuondoa kiongozi huyo.

No comments:

Powered by Blogger.