Header Ads

MKURUGENZI WA KAMPUNI YA UJENZI WA BARABARA IRINGA GNSM ATOA MSAADA WA CHAKULA KWA YATIMA TOSAMAGANGA

MKurungenzi  wa kampuni ya ujenzi  wa barabara Iringa ya GNSM Bw  Geofrey Mungai na mkewe  Sarafina Mungia katikati  wakikabidhi  baada ya misaada  yenye thamani ya zaidi ya Tsh milioni 1 kwa  mlezi  wa  kituo cha yatima Tosamaganga Godfrida Mhongole
Bw Mungai  akishuhudia  jinsi  watoto  wanavyohudumiwa
Bi Sarafina  Mungia na Geofrey Mungai  wakiwatazama wahudumu  wakiwalisha watoto yatima wa Tosamaganga  Iringa
Bw Geofrey Mungai  akisaidia  kuwapa uji  watoto yatima  wa Tosamaganga Iringa baada ya  kumaliza  kuwapa msaada wa chakula  cha Krismas na mwaka mpya

No comments:

Powered by Blogger.