RAIS WA ZANZIBAR DR ALI SHEIN ASHIRIKI MAZIKO YA MUASISI WA CCM

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi AlhajDk.Ali Mohamed Shein(wa tatu kulia) pamoja na Viongozi na Waislamu wakibeba Jeneza lenye mwili wa Muasisi wa CCM Marehemu Mzee Juma Ameir Juma baada
ya kumswalia katika Msikiti wa Abdalla Rashid Kiembesamaki Wilaya ya
Magharibi na kwenda kuzikwa Jana kijiji kwao Muungoni Wilaya ya Kusini
Unguja.

Waombolezaji
wakilibeba jeneza lenye mwili wa marehemu muasisi wa CCM marehemu Mzee
Juma Ameir Juma aliyefariki jana na kuzikwa kijijini kwao Muungoni Mkoa
wa Kusini Unguja,ambapo Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein aliongoza maziko hayo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein na Makamo wa Pili wa Rais wa Zanzibar Alhaj Balozi Seif Ali Iddi (katikati) pamoja na Waislamu na Wananchi mbali mbali wakishiriki katika Maziko ya muasisi
wa CCM Marehemu Mzee Juma Ameir Juma aliyefariki usiku wa kuamkia
jana na kuzikwa kijijini kwao Muungoni wilaya ya Kusini Unguja.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitia udongo katika kaburi la muasisi
wa CCM Marehemu Mzee Juma Ameir Juma aliyefariki usiku wa kuamkia
jana na kuzikwa kijijini kwao Muungoni wilaya ya Kusini Unguja.Picha
IKULU-Zanzibar
No comments:
Post a Comment