Header Ads

Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Zitto Kabwe Aliposhiriki Sherehe Za Kuapishwa Kwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Prof. Musa Juma Assad IKULU Jijini Dar es Salaam


Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) Mh. Zitto Kabwe akisalimiana na Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya wakati wa hafla fupi ya kuapishwa Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu mpya wa Hesabu za Serikali Ikulu jijini Dar es salaam.Picha na Aron msigwa

No comments:

Powered by Blogger.