Header Ads

MKUU WA WILAYA YA MAKETE AONGOZA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA KUKAGUA ENEO LILILOKUMBWA NA MADHARA YA UPEPO MKALI



 Moja ya Nyumba ya mkazi wa kijiji cha Nungu kilichopo kata ya Matamba wilayani Makete iliyoezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua hivi karibuni, hakuna mtu aliyefariki wala kujeruhiwa kutokana na hali hiyo
 Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro (kulia) akiangalia moja ya nyumba iliyobomoka kutokana na upepo huo mkali, kulia kwake ni baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama ya wilaya ya Makete.
 Nyumba iliyobomolewa na mvua na upepo mkali.

No comments:

Powered by Blogger.