MKUU WA WILAYA YA MAKETE AONGOZA KAMATI YA ULINZI NA USALAMA KUKAGUA ENEO LILILOKUMBWA NA MADHARA YA UPEPO MKALI
Moja
ya Nyumba ya mkazi wa kijiji cha Nungu kilichopo kata ya Matamba
wilayani Makete iliyoezuliwa na upepo mkali ulioambatana na mvua hivi
karibuni, hakuna mtu aliyefariki wala kujeruhiwa kutokana na hali hiyo
Mkuu wa wilaya ya Makete Mh. Josephine Matiro
(kulia) akiangalia moja ya nyumba iliyobomoka kutokana na upepo huo
mkali, kulia kwake ni baadhi ya wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama
ya wilaya ya Makete.
Nyumba iliyobomolewa na mvua na upepo mkali.
No comments:
Post a Comment