Kaimu
Meneja wa Kiwanja cha Ndege Kigoma, Bw. Joseph Nyahende (Wapili
kushoto) akitoa maelezo kuhusu Kiwanja cha Ndege Kigoma kwa Kiongozi wa
Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya
Mipango, Bibi Florence Mwanri (Kulia). Wanaosikiliza ni Meneja Mradi wa
Utanuzi wa Kiwanja cha Kigoma, Mhandisi Neema Mwasha (Kushoto) na Bw.
Julius Edward (Wapili kulia).
Meneja
Mradi wa Utanuzi wa Kiwanja cha Ndege Kigoma, Mhandisi Neema Mwasha
(Kushoto) akifafanua jambo kwa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo
kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango mara walipofika kujionea shughuli
za maendeleo kiwanjani hapo.
Kaimu
Meneja wa Kiwanja cha Ndege Kigoma, Bw. Joseph Nyahende (Aliyenyanyua
mikono) akitoa maelezo juu ya sehemu zitakazoendelezwa kwa Timu ya
Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango.
Kiongozi wa Timu ya Ukaguzi wa Miradi ya Maendeleo kutoka Ofisi ya Rais, Tume ya Mipango, Bibi Florence Mwanri (Kushoto)
akiangalia tabaka za udongo uliotumika katika kujengea Kiwanja cha
Ndege Kigoma. Anayemuonesha ni Kaimu Meneja wa Kiwanja cha Ndege Kigoma,
Bw. Joseph Nyahende (Kulia).
Meneja
Mradi wa Utanuzi wa Kiwanja cha Ndege Kigoma, Mhandisi Neema Mwasha
(Wapili kulia) akionesha eneo likaloboreshwa katika Mradi wa Utanuzi wa
Kiwanja cha Ndege cha Kigoma.
KIWANJA CHA NDEGE CHA KIGOMA KUTANULIWA
Reviewed by
crispaseve
on
11:49 PM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment