Header Ads

PICHA KUTOKA CCM:JIONEE MWENYEWE JINSI KATIBU MKUU WA CCM ABDURAHMNA KINANA ALIVYOTIKISA JIJI LA DAR


 Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia maelfu ya wakazi wa Dar es Salaam kwenye mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye viwanja vya Mwembeyanga.
 Wananchi waliohudhuria mkutano huo, uliofanyika juzi,  kumpongeza Rais
Jakaya Kikwete kwa hotuba yake aliyoitoa wakati wa kuzindua Bunge Maalum la
katiba,linaloendelea mjini Dodoma.
 Kinana akionyesha kadi ya Chadema aliyokabidhiwa na Ramadhan (kushoto). 

No comments:

Powered by Blogger.