Mgeni Rasmi Mh. Profesa Mark J. Mwandosya Waziri Ofisi ya Rais akipokea Mwenge Maalum wa Kumbukumbu ya Miaka 20 ya Mauaji ya Rwanda kutoka kwa Mustapha Issa wa kwanza kutoka upande wa kushoto pamoja na Amina Mtegeti.
Akiwasha Mshumaa kwa ajili ya kumbukumbu ya Miaka 20 ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda.
Aliyekuwa katibu Mkuu wa Saba wa Umoja wa Afrika Dk. Salim Ahmed Salim akiwasha Mshumaa kwa ajili ya Kumbukumbu ya Miaka 20 ya mauaji Kimbari ya Rwanda.
Baadhi ya mabalozi mbalimbali wanaoziwakilisha nchi zao Tanzania, wadau mbalimbali wa mashirika ya Kimataifa na Sekta binafsi waliohudhuria maadhimisho hayo.
Baadhi ya wanafunzi wakiwa katika Kumbukumbu maalum ya Miaka 20 ya Mauaji ya Rwanda.
Baadhi ya waliofika katika Kumbukumbu za Miaka 20 ya mauaji.
MAADHIMISHO YA 20 YA MAUAJI YA KIMBARI YALIYOTOKEA NCHINI RWANDA JIJINI DAR
Reviewed by
crispaseve
on
3:17 PM
Rating:
5
No comments:
Post a Comment