Header Ads

Wizara ya Kilimo na Sekretariet ya Ajira katika Utumishi wa Umma.


Mkurugenzi Msaidizi Afya ya Mimea,Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bw. Fabian Nkondo akiwaeleza waandishi wa habari kuhusu hatua zinazochukuliwa na Serikali katika kuwaelimisha wananchi kuhusu maboresho katika Sekta ya  Kilimo ili kuleta Tija.
 Msemaji wa Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bw. Richard Kasuga akiwaeleza waandishi wa habari  kuhusu tahadhari ya kutokea viwavi jeshi hapa nchini hivyo wananchi kutakiwa kuchukua tahadhari. Kulia ni Afisa Habari wa Idara ya habari Maelezo na kushoto ni  Mkurugenzi Msidizi Afya ya Mimea,Wizara ya Kilimo Chakula na Ushirika Bw. Fabian Nkondo.
 
 Afisa habari Mwandamizi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika utumishi wa Umma Bi Riziki Abrahamu akiwaeleza  waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam  kuhusu  waombaji kazi kujiandaa vyema ili kukidhi vigezo  vya usaili, na kushoto ni  Afisa Udhibiti na Ubora  wa Sekretarieti hiyo  bw. Chistopher  Liganga. 
Afisa habari Mwandamizi wa Ofisi ya Rais Sekretarieti ya Ajira katika utumishi wa Umma Bi Riziki Abrahamu akiwaonyesha waandishi wa habari moja ya nakala ya maombi ya ajira isiyokidhi vigezo hali inayosababisha waombaji wengi wenye sifa kushindwa kupata ajira Serikalini. Kulia ni Afisa Habari Idara ya Habari Maelezo Frank Mvungi na kushoto ni  Afisa Udhibiti na Ubora  wa Sekretarieti hiyo  bw. Chistopher  Liganga.

No comments:

Powered by Blogger.