Header Ads

TAZAMA PICHA MBALIMBALI KUTOKA KAMPENI ZA CCM CHALINZE:JIONEE JINSI KATIBU MKUU WA CCM ABDURAHMNA KINANA NA KATIBU WA NEC ITIKADI NA UENDEZI WA CCM NAPE NNAUYE WALIVYOTIKISA KAMPENI ZA MGOMBEA WA JIMBO LA CHALINZE-RIDHIWAN JAKAYA KIKWETE



Riz akizungumza na watoto baada ya mkutano wake wa kampeni Msolwa
Ridhiwani akisalimiana na Abiba Samweli baada ya mkutano wake wa kampeni kijiji cha Msolwa
Kinana akizungumza na wananchi katika kijiji cha Msolwa
Vijana wakishangilia CCM, Mdaula
Mgombea wa Ubunge katika uchaguzi mdogo jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete na Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, wakiwapungia mikono wananchi walipowasili kwenye mkutano wa hadhara katika kijiji cha Ubena Zomozi jana

No comments:

Powered by Blogger.