TAASISI YA VIWANGO ZANZIBAR (ZBS) YAZINDUA KAMATI ZA KITAALAMU NA DIVISHEN ZA UANDAAJI WA VIWANGO VYA TAASISI HIYO.
Mwenyekiti
wa Bodi ya Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) Prof. Ali Seif Mshimba
akitoa nasaha kwa wajumbe wa Kamati za kitalaamu na Divishen za undaji
wa Viwango vya Taasisi ya Viwango Zanzibar pamoja na kumkaribisha mgeni
rasmin.
Katibu
Mkuu Wizara Biashara, Viwanda na Masoko Julian B. Raphael akizindua
kamati za kitalaamu na Divishen za undaji wa Viwango vya Taasisi ya
Viwango Zanzibar katika hafla iliyofanyika Grand Palace Hotel Mjini
Zanzibar (kulia) Prof. Ali Seif Mshimba na (kushoto) ni Naibu Katibu
Mkuu Wizara Biashara, Viwanda na Masoko Rashid Ali Salu.
Mkufunzi
kutoka (TBS) Bw. Nickonia Mwabuka aliesimama akitoa elimu juu muundo
upatikanaji wa viwango kwa tasisi kusika katika hafla iliyofanyika Grand
Palace Hotel Mjini Zanzibar. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.
Baadhi
ya wajumbe wa Kamati za kitalaamu na Divishen za undaji wa Viwango vya
Taasisi ya Viwango Zanzibar (ZBS) wakimskiliza Mkufunzi kutoka (TBS) Bw.
Nickonia Mwabuka hayupo pichani alipokua akitoa maelezo kuhusu muundo
upatikanaji wa viwango kwa tasisi kusika.
No comments:
Post a Comment