Header Ads

RIDHIWANI KIKWETE AWASHA MOTO WA KAMPENI KATA YA UBENA LEO



 Mgombea ubunge katika uchaguzi mdogo wa Jimbo la Chalinze, kupitia CCM,  Ridhiwani Kikwete (kulia) akiambiwa neno na  Mfuasi wa chama hicho mwenye Jamii ya wafdugaji ya Wamasai, wakati wa mkutano wa kampeni katika kijiji cha Mwidu, Kata ya Ubena, wilayani Bagamoyo leo.


 Msanioin wa muziki wa kizazi kipya Sam wa Ukweli akitumbuiza wakati wa mkutanio wa kampeni katika Kijiji cha Visakazi, Kata ya Ubena leo, wa kumnadi  mgombea wa Jimbo la Chalinze kupitia CCM, Ridhiwani Kikwete leo.


 Wazee wakicheza ngoma ya selo wakati wa mkutano huo wa kampeni leo. katika Kijiji cha Mwidu.


 Ridhiwani Kikwete  na Diwani wa Kata ya Ubena, Mrisho Choka  wakiwa wameinama kwa dakika moja ikiwa ni ishara ya kumkumbuka aliyekuwa mbunge wa Jimbo la Chalinze marehemu, Bwanamdogo. wakati wa mkutano wa kampeni za uchaguzi leo katika Kijiji cha Visakazi, Kata ya Ubena leo.


 Wafuasi wa CCM wakisikiliza kwa makini huku wakiwa wamejifunika vipeperushi vyenye picha za  mgombea ubunge Jimbo la Chalinze, Ridhiwani Kikwete alipokuwa akijinadi katika Kijiji cha Visakazi.


 Mwenyekiti wa CCM  Mkoa wa Pwani Mwishehe Mlao,  akimnadi mgombea ubunge wa Jimbo la Chalinzi, Ridhiwani Kikwete  wakati wa mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Visakazi.


 Wafuasi wa CCM wenye Jamii ya Kimasai wakisikliliza kwa makini hotuba ya Ridhiwani Kikwete,  katika Kijiji cha Visakazi, Ubena


 Ridhiwani Kikwete akisalimiana na mmoja wa watu wenye ulemavu baada ya  mkutano wa kampeni kumalizika mkutano


 Ridhiwani Kikwete akisalimiana na wananchi baada ya mkutano kumalizika


 Jnamani naombeni kura zenu ili mnipe nguvu za kulitumiakia Jimbo la Chalinze. Ndivyo Ridhiwani Kikwete alivyokuwa akijinadi kwa wananchi ili wampigie kura April 10


Katibu wa CCM, Wilaya ya Mufindi, Miraji Mataturu aki\hutubia wakati wa kumnadi Ridhiwani Kikwete wakati wa mkutano wa kampeni katika Kijiji cha Ubena, Kata ya Ubena, wilayani Bagamoyo leo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA WA KAMANDA WA M,ATUKIO BLOG

No comments:

Powered by Blogger.