Mgombea ubunge wa jimbo la Chalinze kupitia CCM Bw. Ridhiwani Kikwete akizungumza na Mpigapicha wa magazeti ya Jambo Leo ambaye pia ni Mkurugenzi wa Mtandao wa Kamanda wa Matukio Blog Richard Mwaikenda wakati wa mkutano wake wa kampeni katika Kijiji cha Kaloleni,kata ya Ubena leo.
No comments:
Post a Comment